Tuesday, September 10, 2013

"26TH OCTOBER 2013" IS NOT VERY FAR FOR THE SAKE OF SAMUEL SASALI'S MARRIAGE!!!!

 Habari zenu!
Hope mnaendelea poa sana!
Hatimaye tunaendelea kuzihesabu siku kabla haijafika ile siku ambayo
SAMUEL SASALI a.k.a Papaa Sebene, Ze Blogger
atakuwa anauaga ukapela!
Kama bado hauna taarifa basi ndio habarika sasa!
na kama unatamani kuhuhudhuria tukio hilo kubwa la kihistoria basi pata kadi yako ya mwaliko na ya mchango ambayo mwisho wa kuchangia ni mwisho wa September 2013!
siku ya tar 26th October 2013 itafanyika ibaada ya ndoa pale Victory Christian Centre Tabernacle (VCCT) na kisha taafrija kufanyika jioni katika bustani nzuri ya pale Lamada Hotel!


KWA NIABA YA KAMATI YA MAANDALIZI,KWA NIABA YA BLOGGERS, KWA NIABA YA MA-MC NA KWA NIABA YANGU BINAFSI NINAPENDA KUKUKARIBISHA WEWE ULIYE MTU NA RAFIKI WA KARIBU NA UKWELI, KUWA SEHEMU YA HISTORIA.

KWA MASWALI NA MICHANGO ZAIDI USISITE KUWASILIANA KUPITIA;
0713 494110
AU 0713261425

Na King Chavala MC
+255 713 883797|

No comments:

Post a Comment