MY FAITH & WISH(29/09/2013) Vs GOD'S BEST TIME OF GIVING ME A GIFT OF A WIFE....Mmmhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????????
*****************************************************
Hivi siku za karibuni nimekuwa nikipokea maswali na maulizo mengi
sana,yaliyokaa katima mfumo wa uhojiji usio rasmi na kumbusho la habari
ya hatma yangu ya "KUKAMILIKA"....na nimekaa kimya makusudi kwasababu
kwa kadri nilivyoongea kila siku hata kama nimeongea haya ndani ya mwaka mmoja tu,watu wanaona kama niliaanza kuahidi miaka hiyoooo!
Anyway natamani niwajibuni nyote kwa pamoja kuwa VILE AMBAVYO
NILISEMA,NDIO NILIMAANISHA KUMWAMINI BWANA KATIKA JAMBO HILI!.....unajua
katika ulimwengu huu EVERYTHING IS DONE BY FAITH....Martin Luther
King,amewahi kusema...You need not to see the whole staircase,just start
the first step by faith!
***********************************************************

Pamoja na carrier yangu kama MC/Comedian,katika hili sijalifanyia
utani,i was and i am very serious about it!.....But this issues need
preparations na kuhusika kwa watu wengi sana,kwa mwezi wa pili mpaka wa
nne tumepoteza 4 ndugu(Baba mkubwa,bibi mzaa baba,binamu na mjomba kaka
wa mama) so kwa hali ya kawaida hakuna namna ningeanza process kwa hali
hii,na zaidi ya hiyo in my church there are are some strictly steps and
procedures to follow that are taged within 6months!
SO MY FAITH IS
CONSTRAINED IN THIS NARROW PATH THOUGH I BELIEVE IN MIRACLES...The Bible
says"Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu,bali jawabu la ulimi latoka kwa
Bwana",so no way if at God is in Control mimi ni nani hata nibishane au
nifanye tofauti ili tu kutunza promise yangu ya 29/09/2013 while God's
time is the best time?
***********************************************************
Nilimwamini na bado namwamini Bwana kwa habari ya mwana-mwari asiye na
kunyanzi lolote moyoni,naam nafsi yangu ikaona,lakini RIDHAA ya ayala
yule haikuwa kwangu,yamkini nafsi zangu zilitafasiri vibaya ama labda
sikufanya vema yaliyonipasa ama muda wake wa kupata kiuu bado mmmh! ni
nani ajuaye siri za Bwana na akaenda kinyume na maagizo yake....yeye
amezitukuza ahadi zake kuliko hata Jina lake,naam naamini itatimia
kwangu!!
**********************************************************
NILITAMANI SANA NA BADO NATAMANI KUFANYA 29/09/2013 KAMA NILIKWISHA
KUKIRI NA KUAMINI HIVYO,LAKINI IKIWA SITAPATA KIBALI CHA BWANA KWA SAA
HIYO,SITAMLAUMU MUNGU HATA KIDOGO,KWA KUKWA KATIKA MAMBO YOTE YEYE
HUFANYA KAZI NA WALE WAMPENDAO KATIKA KUWAPATIA MEMA!!
**********************************************************
Moyo wangu unaweza kuumia kumkosa binti yule hata sasa,lakini bado
ninayo nafasi ya kuiambia nafsi yangu....PRAY FOR WHAT YOU DESERVE AND
NOT WHAT YOU WANT(Maana yawezekana ukang'ang'ania kupata gari kumbe
unastahili ndege,ama ukaomba treni sana kumbe unastahili kupata
pikipiki....naam najua na ninaamini mke ni zawadi,Je ni nani mwenye
utimamu kichwani ambaye huletewa zawadi na kabla hajaifungua akaambiwa
zawadi yako sio hiyo bali ni hii na akapewa nyingine,nae akang'ang'ana
kwa kusema...HAPANA MIMI NAITAKA HII,KWASABABU HII NDIO NZURI NA
NIMESHAIZOEA MACHONI,hali hata hajui ndani kunani???)
Naam
nimelazimika kuandika waraka huu kwenu,nyote wenye mapenzi mema na mimi
na mnaniombea kheri ili msiache kuniombea kila siku maana huduma yangu
ni kubwa na ni ya mataifa mengi,hivyo mke si jambo dogo wala la
masikhara,hapa unamzungumzia mshauri na msaidizi wa "ICON OF AFRICA"
**********************************************************
MSINISUKUME WALA KUNISII KUOA ETI KWASABABU MARAFIKI ZANGU WENGI WAMEOA
AU WANAOA,BALI MNISII NILITEGEE SHAURI LA BWANA NA KUONA KAMA YEYE
AONAVYO!!!
**********************************************************
Kwa wale mliotendwa,kuachwa na kuumizwa,msione kama hapo ndio mwisho wa
dunia,bali kaeni chini mjichunguze na kama kuna mahali kuna kosa basi
jisahisheni na kusonga mbele,Biblia inasema.....Wakati wa Mazuri
ufurahi,na wakati wa mabaya ufikiri,maana yote haya hutokea kwa kusudi!
Wakati mwingine hampati kwasababu mnang'angania mno vya zamani,au
mnatafuta kwa lengo la kuwakomoa mliotendana nao,hiyo sio sawa!!
Msiache kuwapenda na kuwaombea wale waliowatenda ama hata wale wasiowapenda ninyi na huo ndio ukubwa.
********************************************************
Kwa wale mnaongoja kwa hamu harusi yangu,bado msichoke na wale wote
walio kwenye michakato hivi sasa ya kuoa nawatakia kheri,hongereni kwa
hatua na Mungu aimarishe mioyo yenu hasa katika kipindi hiki kisicho
chepesi!
Namwamini Bwana kuwa saa ikifika basi mambo yote yatakuwa SAFIIII!
************************************************************
This are my words from my mind and my heart,if you are friend or fan or
whatever,hit the "like" after reading and "share" if you wish!
I LOVE YOU AND I LOVE YOU SO MUCH!
Thank you!
Regards
King Chavala-MC
http://kingchavala.blogspot.com/